Translate this blog in your favourable language

My pager view

Saturday, September 18, 2010

very important.. understand principle of ethics to lead your life.

in our life we  have to know and understand well principle  of ethic life..
1... LIFE..to understand the value of life and how to control life..
2...JUSTICE..the principle of equity, distribution and have a fairness at all.
3...HONESTY..you have be honest or truth telling or velacity.
4...GOODNESS..you have to resist evil and ability to be good person at all.and

ont offer money and forget ethics

5...FREEDOM..concern autonomy to free in act in any way and give other freedom and be free self..for more explanation contact.. stevenmruma@hotmail.com... beware.

hivi unahimili vipi pale unapokua katika mkusanyiko wa watu wengi?

palipo na watu wengi pana mengi kama wizi na mengineyo ila ni lazima ujue kukabiliana nayo kwanza uwe na mavazi ya kawaida yani ya heshima mf wasichana waliovaa nusu uchi walivuliwa nguo katka fiesta ya 2007 tanga na wahuni kwa mavazi yao ya ajabu so jaribu kuangalia suala la mavazi..pia usipende ibishoo au usista duu sio mzuri unaweza ukakupashida wakati mwingine...beware..

ndoa ni jambo muhimu kama ukijipanga kabla ya ndoa

steve used to say...kila anaeingia katika ndoa bila shaka amejipima akaona kuwa anaweza akahimili mikikimikiki ya ndoa ila ndoa nyingi huvunjika kwakua wawili hao inawezekana walimuakukurupuka kisha wakaoana mwishowe maji ya shingo wanakimbiana..