Translate this blog in your favourable language

My pager view

Wednesday, June 16, 2010

world vision shirika la kijamii linalosaidia watoto

hakika kila kitolewacho kama zawadi huwa bora siku zote nalikubali sana hili shirika la worldvision kwa mchango wao mkubwa kwa jamii mpaka leo asilimia kubwa ya watoto wote huko maeneo ya vijijini wamepata udhamini kutoka japan na wanafurahia sana udhamini huo.. yapo mengi na nina andaa makala maalum ya world vision na mustakabali wa watoto wetu.. 2wemo tuchangie na tutoe mawazo yetu na pia kuomba dua zetu ili mambo yaendelee kuwa sawia.......

jamani msione naweka post chache sijawachka ila nasisitiza woza..

wengi mtashangaa kwanini mambo yamekuwa slow sana duh poleni na daima msikate tamaa mimi naamini mambo yote yataenda kama ilivyopangwa muda si mrefu kama mlivyonichukulia poa pale nlipo kosa nichukulieni na hapa pia au sio bila shaka 2po pa1 wa2 wangu 4WARD EVER BACKWARD NEVER... STEVEN 2GTHR WITH DIVA LOVENESS LOVE..

diva na mambo yake ktk web yake nazikubali kazi zake.

no longer at simple way. inawezekana mi nikawa sio msanii ila kiukweli ningekua msanii labda ningemtungia single namfeel kiukweli may be labda namfil coz kwao tanga kama mimi ila du nashukuru kwa mchango wake kwangu bila shaka siku moja steven na diva watafanya kazi pamoja naomba kwa mungu wangu mimi wale wanaomchukia wapate kilema cha usahaulifu diva kama utaiview post hii hebu waambie kitu hao wanaojifanya kuwa ni madiva na wanakupiga wewe kkwangu uko juu daima...